SectionsEucharistNitajongea Meza Yako Bwana

Nitajongea Meza Yako Bwana

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Christmas,Christmas,Christmas,Easter,Lent,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Nitajongea meza yako Bwana,

Yesu Mwana wa Mungu, unishibishe x2

Verse 2

Wewe ni mkate wa uwinguni, unishibishe

Wewe ni maji ya uzima, niburudishe

Wewe mzabibu nami ni tawi, nisitawishe

Wewe msamaha kwa watu wote, nisaidie

Wewe ni njia ya uwinguni, uniongoze

Nazo furaha za uwingu ukinijaza

Niishi nawe Ee Yesu mwema, milele yote