SectionsExitNitajisifia Udhaifu Wangu

Nitajisifia Udhaifu Wangu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Nitajisifia udhaifu wangu udhaifu wangu,nili uweza wa Kristu ukae juu yangunmaana ninapokuwa dhaifu ndipo nilipo na nguvu x2

Verse 2

Sina budi kujisifia japo kuwa haipendezi,nlakini ninajizuia nisihesabiwe hatia,nbali nasema ukweli juu ya maono niliyopata.

Verse 3

Sababu ya mafunuo hayo nalipewa mwiba mwilini,nnikamsihi Mungu wangu jambo hili liniepuke,nnaye akaniambia neema yangu pekee inatosha.

Verse 4

Napendezwa na udhaifu dharau taabu mateso,nnakuyavumilia yote hayo kwa ajili ya Kristu,nkwani uweza wa Kristu hutimia katika udhaifu.