Chorus
Nitafurahi sana katika Bwana
Bwana amenivika mavazi ya wokovu
Amenifunika vazi la haki
Kama bibi harusi ajipambavyo
Kwa vyombo vya dhahabu, vyombo vya dhahabu
Verse 2
Nitafurahi sana katika Bwana
Nafsi yangu itashangilia katika Mungu
Verse 3
Bwana amenivika mavazi ya wokovu
Amenifunika vazi la haki kama bibi harusi
Ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu