SectionsExitNitafurahi Sana Katika Bwana

Nitafurahi Sana Katika Bwana

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

Nitafurahi sana katika Bwana

Bwana amenivika mavazi ya wokovu

Amenifunika vazi la haki

Kama bibi harusi ajipambavyo

Kwa vyombo vya dhahabu, vyombo vya dhahabu

Verse 2

Nitafurahi sana katika Bwana

Nafsi yangu itashangilia katika Mungu

Verse 3

Bwana amenivika mavazi ya wokovu

Amenifunika vazi la haki kama bibi harusi

Ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu