Chorus
Niseme nini basinjuu ya mama yetu Marian(mama Bikira Maria)nmama mpendelevunmama mwenye neema x2n
Verse 2
Wakati wa majaribu mwombezi wetu ni
Maria (mama yetu), wakati wa mashakankimbilio letu ni mama Maria.
Verse 3
Mama uliyeumbwa pasipo dhambi yanasili (mama yetu), ukamzaa mwananmkombozi wa ulimwengu Maria.
Verse 4
Moyo wako wa heri moyo saf moyonmweupe (mama yetu), nijalie neemannishindie majaribu yote Maria.
Verse 5
Mama wa mkombozi ni mnara wetu wanmbinguni (mama yetu), mwangaza wetunsisi tunao safri gizani Maria
Verse 6
Shika mkono wangu nionyeshe njia yankweli (mama yetu), nifkishe kwa mwanaonanapoketi uwinguni Maria.