Nipishe Njia
Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1
Nipishe njia nipeni nafasi -
Nimuonyeshe Mungu nilivyofurahi
Nitamwimbia ngoma nitacheza -
Chorus
Natamani kuruka nifke kule nimuinue
Mungu kwa mikono yangu nimwelezenkwa kinywa changu mwenyewe kwambannimefurahi kwa upendo wake,
Bwana (nashukuru x3) tu ninashukuru kwankunipenda bila mwisho
Sina (chakusema x3) tu ninashukuru kwankunipenda bila mwisho.
Verse 3
Akaniinua kutoka shimoni -
Akaniweka juu ya kinara -n
Verse 4
Nitazunguka kwa maringo tele -
Na tabasamu lisilokauka -n
Verse 5
Nitawashika wenzangu, mikono -
Tuinue juu kwa pamoja -
Verse 6
Wenzangu si mmejionea wenyewe -
Mungu alivyomwema waajabu -n
Verse 7
Nitaandika utukufu wake -
Na wajukuu wangu wausome -