Ninazo Sababu
Marian,Lent,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Ninazo sababu za kutoa shukrani zangu
Ninakushukuru Bwana kwa ukarimu wako
Ee Baba asante [sana] kwa upendo wako
Pokea zawadi [hii], ninakutoleanÂ
Verse 2
Enyi watu wa Mungu, njooni kwa masifu
Kusanyikeni leo, mbele zake Bwanan[Piga] pi- kelele, [piga] piga ngoman[Shangwe] sha- deremo, [piga] piga ‘kofinÂ
Verse 3
Mbingu pia dunia, ni mali ya Bwana
Mito pia bahari, ni mali ya Bwanan[Tuna]tu- sababu, [za ku]za- shukurun[Bwana]bwa- pokea, [shukra]shu- ni zetunÂ
Verse 4
Uhai wangu mimi, ni mali ya Bwana
Sauti yangu nzuri, Bwana amenipan[Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wakon[Naku] na- kwimbia, [naku] kuinuanÂ
Verse 5
Natembea mchana, Bwana aniongoza
Ninalala usiku, Bwana hunilindan[Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wakon[Naku] na- shukuru, [naku] kutukuza