Ninazo Sababu

Marian,Lent,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Ninazo sababu za kutoa shukrani zangu

Ninakushukuru Bwana kwa ukarimu wako

Ee Baba asante [sana] kwa upendo wako

Pokea zawadi [hii], ninakutoleanÂ

Verse 2

Enyi watu wa Mungu, njooni kwa masifu

Kusanyikeni leo, mbele zake Bwanan[Piga] pi- kelele, [piga] piga ngoman[Shangwe] sha- deremo, [piga] piga ‘kofinÂ

Verse 3

Mbingu pia dunia, ni mali ya Bwana

Mito pia bahari, ni mali ya Bwanan[Tuna]tu- sababu, [za ku]za- shukurun[Bwana]bwa- pokea, [shukra]shu- ni zetunÂ

Verse 4

Uhai wangu mimi, ni mali ya Bwana

Sauti yangu nzuri, Bwana amenipan[Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wakon[Naku] na- kwimbia, [naku] kuinuanÂ

Verse 5

Natembea mchana, Bwana aniongoza

Ninalala usiku, Bwana hunilindan[Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wakon[Naku] na- shukuru, [naku] kutukuza