Verse 1
Ninataka maji ya kunywa
Ninataka, ninataka maji ya kunywa, ya Kristu
Kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu *2
Chorus
Kiu kiu kiu kiu-n(Kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu *2)
Verse 3
Yesu yuko karibu kuja
Yesu yuko, Yesu yuko karibu kuja, kwa wakristu
Kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu *2
Verse 4
Nimeona malaika pale
Nimeona, nimeona malaika pale, wakisema
Kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu *2
Verse 5
Enyi ndugu na dada zangu
Enyi ndugu, enyi ndugu na dada zangu, wakristu
Kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu *2