SectionsExitNinapoliwaza Jina Maria

Ninapoliwaza Jina Maria

MarianExit
Chorus

Ninapoliwaza jina Maria (mimi), ninapolitaja jina Maria (mimi)

Moyo wangu unajaa furaha, hulitafakari daima kwa saa

Verse 2

Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza

Hata malaika walihimidi,

Verse 3

Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza

Linawapendeza watakatifu

Verse 4

Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza

Linawaliwaza wenye huzuni

Verse 5

Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza

Linawaongoza wenye mashaka