Chorus
Ninapoliwaza jina Maria (mimi), ninapolitaja jina Maria (mimi)
Moyo wangu unajaa furaha, hulitafakari daima kwa saa
Verse 2
Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza
Hata malaika walihimidi,
Verse 3
Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza
Linawapendeza watakatifu
Verse 4
Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza
Linawaliwaza wenye huzuni
Verse 5
Jina la Maria Jina tukufu, linafurahisha na kutuliza
Linawaongoza wenye mashaka