SectionsThanksgivingNinakushukuru Bwana

Ninakushukuru Bwana

Lent,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Ninakushukuru Bwana, ninakushukuru Bwana

Kwa mema unayonijalia ninakushukuru

Ninakushukuru Bwananmimi ninakushukuru Bwana mimi ninakushukuru Bwana

Ninakushukuru Bwananmimi ninakushukuru Bwana mimi ninakushukuru Bwana

Verse 2

Nina kila sababu ya kukushukuru Bwanan(Tena) Tena inanipasa nitoe shukrani zangu,

Kwako wewe Muumba wangu muumba wangu, ewe Mungu wangu

Verse 3

{Ninatazama jinsi nilivyo mimi,nni wewe Bwana uliyeniumba mimi (Bwana)

Ukanipa uzima, ukanipa uzima, pia na akili } * 2

Verse 4

Na tazama na pia vitu vyote nilivyo navyo

Nimevipata kutoka kwako Bwana Mungu wangu

Kwa nini nisishukuru, kwa nini?

Kwa nini nisikushukuru Bwana

Kwa nini nisikushukuru Bwana

Kwa nini nisikushukuru Bwana Muumba wangun(Yanipasa) Yanipasa nikushukuru

Verse 5

{ Ninakushukuru kwa moyo wangu wote

Ninakushukuru Mungu wangu

Ninakushukuru Mungu wangu

Ninakushukuru Mungu wangu kwa moyo wangu wote } * 2

Verse 6

Ninakusihi ewe Bwana Mungu wangunuzipokee shukrani zangu

Ingawaje shukrani zangu hazilingani na wema wako kwangu, ee Mungu wangu

Verse 7

Ninafahamu Bwana unanipenda, ingawaje

Waujua udhaifu wangu na mawazo yangu yote ya kila siku

Na maneno na matendo yangu yote

Verse 8

Ninajiuliza nikushukuru jinsi gani Mungu wangu

Nitakuimbia wimbo wa sifa

Wimbo ule ulio bora wimbo wa shukrani, wa shukrani

Niyatangaze matendo yako makuu

Na sifa zako na wema wako wakati wote

Na pia mahali pote

Verse 9

Nitalitangaza Neno lako kwa watu wote, wakuheshimu wakufuate wewe

Ninakuomba uniimarishe pia unilinde, ili nikufuate wewe daima na daimannami nitakushukuru siku zote za maisha yangu nisadie Bwana

Verse 10

Ninakushukuru Bwana, ninakushukuru Bwana

Kwa mema unayonijalia ninakushukuru

Ninakushukuru Bwana, ninakushukuru Bwana

Kwa mema unayonijalia ninakushukuru

Verse 11

Ninatoa asante kwako Bwana Mungu wangu

Asante, asante, asante,

Ninatoa asante kwako Bwana Mungu wangu

Asante, asante, asante,

Verse 12

a-asante (asante), a-asante (asante) , a-asante (asante asante),nasante asante asante (asante)

Verse 13

a-asante (asante), a-asante (asante) , a-asante (asante asante),nasante Mungu Baba asante