Ninakupenda Mungu
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Ninakupenda Mungu (wangu)
Ninakupenda wewe milele na milelen(Bwana) nitakutukuza
Pokea sifa zangu (Bwana)
Zinazotoka katika kinywa changu mimin(ndani) na moyoni mwangu *2n
Verse 2
Katika makusanyiko nitaziimba zaburi
Nitazitangaza sifa zako daima milele
Kwenye madhabahu yako nitaitoa sadaka
Ile ya kukupendeza ee Mungu Muumba wangu.
Verse 3
Umenitendea mengi, mema yasiyo idadi
Ninakushukuru Bwana, ee Baba Muumba wangu
Nikiyakumbuka yote, machozi yanimwagika
Ni machozi ya furaha, ni machozi ya upendo.
Verse 4
Usiniache ee Bwana, na wala usinitupe
Ukinitupa wewe, nani ataniokota
Ndiwe msitiri wangu, katika dunia hii
Dunia yenye mateso na yenye mahangaiko