SectionsThanksgivingNinakupenda Mungu

Ninakupenda Mungu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Ninakupenda Mungu (wangu)

Ninakupenda wewe milele na milelen(Bwana) nitakutukuza

Pokea sifa zangu (Bwana)

Zinazotoka katika kinywa changu mimin(ndani) na moyoni mwangu *2n

Verse 2

Katika makusanyiko nitaziimba zaburi

Nitazitangaza sifa zako daima milele

Kwenye madhabahu yako nitaitoa sadaka

Ile ya kukupendeza ee Mungu Muumba wangu.

Verse 3

Umenitendea mengi, mema yasiyo idadi

Ninakushukuru Bwana, ee Baba Muumba wangu

Nikiyakumbuka yote, machozi yanimwagika

Ni machozi ya furaha, ni machozi ya upendo.

Verse 4

Usiniache ee Bwana, na wala usinitupe

Ukinitupa wewe, nani ataniokota

Ndiwe msitiri wangu, katika dunia hii

Dunia yenye mateso na yenye mahangaiko