SectionsEucharistNinakupenda Ewe Mwokozi

Ninakupenda Ewe Mwokozi

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Ninakupenda ewe Mwokozi wangu,nrafki yangu mpenzi wa moyo wangu,

Ukae nami daima ndani yangu,nnipate nguvu na heri siku zote.

Verse 2

Nina kutolea mwili na roho yangu,nunipe neema zako nipate nguvu,

Nikae nikupendeze mwokozi wangu,nshetani muovu kamwe asinipate.

Verse 3

Nilinde niwe imara na mwenye nguvu,nnisitumbukie tena katika dhambi,

Unionyeshe yaliyo ya heri kweli,nnipate kuishi kwa kumpendeza Bwana

Verse 4

Nawe uliye njia kweli na uzima,nniongoze vyema daima siku zote,

Uniangazie mwanga palipo giza,nnifkishe kwake Baba kwa neema yakon

Verse 5

Nakukaribisha Bwana moyoni mwangu,nnijarie ewe Bwana baraka yako,

Hata siku ya mwisho nitakuapia,nni ile mbinguni kwenye heri milele.