SectionsEucharistNinakuabudu Mungu

Ninakuabudu Mungu

Ordinary Time,Ordinary Time,LentEucharist
Verse 1

Ninakuabudu Mungu wangu

Unayejifcha altareni

Ninakutolea moyo wangu

Usiofahamu siri yakon

Mafahamu yangu yadanganya

Yanapokuona na kugusa

Namsadiki Yesu hadanganyi

Yeye Mungu Mwana na Ukwelin

Waficha umungu msalabani

Na ubinadamu altareni

Nami naungama yote mbili

Kama mwivi yule mwenye toban

Tomaso aligusa majeraha

Nami nasadiki bila shaka

Ewe Yesu nipe pendo lako

Tumaini kwako na imanin

Umeteswa nini Bwana mwema

Kwaku nipa mkate wauzima

Yesu unifiche ndani yako

Ili nilionje pendo lakon

Yesu pelikane nitazame

Na kwa damu yako nitakase

Tone moja ndilo linatosha

Na dunia yote yaokokan

Ndani ya mafumbo Yesu yumo

Atafumbuliwa kwangu lini

NikuoneYesu usowako

Nishiriki nawe heri yako AMINA.