SectionsEucharistNinakuabudu Ee Mungu

Ninakuabudu Ee Mungu

Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Ninakuabudu e Mungu wangu

Japo wafchika ninakutazama

Nakuona kwa imani ee Mungu wangu

Chini ya maumbo hayo ya hostian

Ninakuabudu Mungu kwa moyo

Na kunyenyekea kwa moyo wote

Namwamini Yesu Mwana wa Mungu

Chini ya maumbo hayo ya hostian

Alipofuka Yesu juu ya msalaba

Wabaya wakasema eti kashindwa

Na hata watu wema wamemfuata

Umungu wake wala hautashindwan

Mafahamu yangu yasidanganywe

Yanapo kuona na kukuguza

Yesu Mungu Mwana na Mungu wa kweli

Chini ya maumbo hayo ya hostian

Ee Yesu mfichika sasa nakuona

Hili jambo moja naomba sana

Utakapo fufuka nikuone kwa uso

Nipate heri ya utukufu wako