Chorus
{ Ninajivunia ukristu wangu, imani yangu
Imeimarishwa kwa Msalaba, wa Yesu Kristu
Mimi naamini Yesu ni Mungu } *2
Verse 2
Wakristu msiyumbeyumbe na kutangatanga,
Aminini kwamba Yesu Kristu ni Mungu
Verse 3
Kama si kwenye miujiza au mafundisho,
Tazameni kifo na ufufuko wake
Verse 4
Hata hivyo sikilizeni ninapiga biu
Kwa sauti kuu Yesu Kristu ni Mungu
Verse 5
Katika sakramenti zote nilizopokea,
Nalikiri kwamba Yesu Kristu ni Mungu