SectionsThanksgivingNinajiskia Furaha

Ninajiskia Furaha

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Ninajisikia furaha ninapolitaja

Na ninapolisifu jina lako ee Mungu wangu

Verse 2

Jina lako ndilo kuu, jina lako ni uzima

Jina lako ndiyo roho iletayo nuru

Verse 3

Jina lako li tukufu, jina lako takatifu

Malaika wanaliimbia kwa furaha

Verse 4

Jina lako laniponya, jina lako lanilinda

Jina lako nikitaja napata faraja