Ninajiskia Furaha
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Ninajisikia furaha ninapolitaja
Na ninapolisifu jina lako ee Mungu wangu
Verse 2
Jina lako ndilo kuu, jina lako ni uzima
Jina lako ndiyo roho iletayo nuru
Verse 3
Jina lako li tukufu, jina lako takatifu
Malaika wanaliimbia kwa furaha
Verse 4
Jina lako laniponya, jina lako lanilinda
Jina lako nikitaja napata faraja