SectionsEntranceNinainua Mikono

Ninainua Mikono

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Ninainua mikono kukutukuza Mungu wangu (mwema)

Ninapiga na makofi kushangilia uwezo wako

Wewe Mungu ni mwema (kwa wote)

Huruma yako ni ya mile-le

Enzi ufalme ni wako milele yote

Wewe Mungu ni mwema (kwa wote)

Ukuu wako ni wa mile-le

Tunakushangilia kwa nyimbo za sha-ngwe

Verse 2

Unatulinda watubariki sisi wanao

Neema tele watujalia sisi wanano

Twakushangilia tukiusifu ukuu wako *2

Verse 3

Ajali za kutisha Bwana umetulinda vyema

Na vifo vya kutisha Bwana umetulinda vyote

Ni wewe Baba wajua yote

Kwani hakuna zaidi ya-ko

Verse 4

Tunaimba kwa furaha tukisifu

Utukufu wako Mungu wetu

Tunashangilia ukuu na upendo wako