Ninaikumbuka Siku
Ninaikumbuka siku ile niliyokuita Bwana wangu
Ukaniponya na kuniepusha na hatari mbaya ya kifo
Mwili wangu uliopatwa na majeraha makubwa
Yenye maumivu makali na ya kutisha
Na ya kukatisha tamaann{n/b/
Nitamke maneno gani, niimbe wimbo gani mimi
Nicheze ala gani au niipige ngoma gani
Kama asante na shukrani yangu Bwana
Na nitoe sadaka gani, iwe kama shukrani yangu
Nikikumbuka wema wako, nisifuje Bwana wangu
Wewe ni mwenye huruma na upendonn/w/
Maneno gani mimi nitamke, na wimbo gani niimbe
Mimi nipige ngoma ganinkama asante na shukrani yangu Bwana
Sadaka nikutolee ee Bwana,nni kama shukrani yangu, nikusifuje Bwana wangu,
Wewe ni mwenye huruma na upendo } * 2
Ninakumbuka siku ile mimi niliposhindwa
Na maumivu ya majeraha ya kichwa niliyoyapata
Maumivu makali mimi yalinibana sana
Hata mwili ulikosa nguvu na fahamu kunipotean(Mimi ) mimi Bwana (niseme) niseme asante
Kukushukuru ee Mungu wangun(Mimi) mimi Bwana (nisipo) nisipotamka nitakuwa sina fadhila
Ninakumbuka siku ile mikono yangu mimi
Ilipopatwa na maumivu yaliyotokana na ajali
Mikono yangu mimi ilitokwa na damu nyingi
Hata na mifupa yangu iliyovunjika na kutokezan(Mimi ) mimi Bwana (niseme) niseme asante
Kukushukuru ee Mungu wangun(Mimi) mimi Bwana (nisipo) nisipotamka nitakuwa sina fadhila
Nilipopata fahamu nikajaribu kusimama
Mwili ulikosa nguvu kwa maumivu tena makali
Miguu yangu inatokwa damu nyingi na kunitisha
Hata na mifupa yangu iliyovunjika na kutokeza. . .n(Mimi ) mimi Bwana (niseme) niseme asante
Kukushukuru ee Mungu wangun(Mimi) mimi Bwana (nisipo) nisipotamka nitakuwa sina fadhila
Usingizi mzito ulinibeba na kunifanya
Niyasahau maumivu yangu yote niliyo nayo
Maumivu makali tena ya ndani yalinibana
Hata kuhema siwezi kugeuka hadi nisaidiwe . . .n(Mimi ) mimi Bwana (niseme) niseme asante
Kukushukuru ee Mungu wangun(Mimi) mimi Bwana (nisipo) nisipotamka nitakuwa sina fadhila
Hebu jiulize ndugu ni wangapi wanaopata haya
Hata uhai wao hutoweka na usirudi
Jitafakari ndugu wewe uzima uliojaliwa
Hata asante kwake Muumba tazama umemsahau, .n(Mimi ) mimi Bwana (niseme) niseme asante
Kukushukuru ee Mungu wangun(Mimi) mimi Bwana (nisipo) nisipotamka nitakuwa sina fadhila