SectionsExitNina Neno Moyoni Mwangu

Nina Neno Moyoni Mwangu

Ordinary TimeExit
Verse 1

Nina neno moyoni mwangu

Natangazia ulimwengu

Yakwamba nimeokoka

Ni kristu kaniokoa

Amen*2

Chorus

Yesu yundani yangu

Na mimi ni ndani yake

Kwahivyo kuishi kwangu

Ni kristu

Na kufa kwangu ni faida*2

Verse 3

Mtu akiwa ndani ya yesu

Amekuwa kiumbe kipya

Yakale yameshapita

Tazama ya sasa yote mapyan

Roho wa mungu ametutwika

Utukufu wa mwenye enzi

Neema yake niyakudumu

Kwa wale wameokoka

Amen*2n

Bwana yesu alijitwikandhambi zetu nazo mizigonakatufia msalabaninkwa damu yake tukaokoka