SectionsThanksgivingNimtumikie Nani

Nimtumikie Nani

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Nimtumikie nani zaidi ya Mungu, aliyeniumba

Hakuna aliye sawa na Mungu, nimtumikie nani mimi

Pumzi ya uhai wangu, yatoka kwake, nimwogope nani mimi

Hakuna aliye sawa na Mungu, nimtumikie nani mimi

Hakuna oo tena hakuna mwingine,nnitamtumikia Mungu aliyeniumba milele

Verse 2

Naamini hakuna aliye sawa naye Mungu

Lolote apendalo yeye Mwenyezi hutimian(Tena) hakuna awezaye kumpinga akipenda

Verse 3

Naamini hakuna aliye sawa naye Mungu

Aliyeumba nchi bahari milima na wanyaman(Tena) akaniumba mwanadamu nivitawale vyote

Verse 4

Naamini hakuna aliye sawa naye Mungu

Aliyenitoa toka hutumwani mwa shetanin(Tena) akanipigania ona sasa niko huru