SectionsOffertoryNimrudishie Nini Bwana

Nimrudishie Nini Bwana

MarianOffertory
Chorus

[ s ] Nimrudishie nini Bwana,n[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendean[ s ] Nitamlipa nini,n[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendean[ s ] Niimbe mimi vipin[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendean[ s ] Mimi jamaan[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea

Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu

Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu

Verse 2

[ s ] Nashindwa nikulipe nini kwa mema yako

Kunilinda na maadui wote nitakupa nini Bwanan

Verse 3

Miezi miaka umenilinda Mungu wangu

Wangapi wamezikwa leo hii mimi bado niko hai

Verse 4

Ninakuomba unipe akili na maarifa

Nizishinde nguvu na mamlaka ya wakuu wa giza