SectionsExitNimezitambua Hila Za Shetani

Nimezitambua Hila Za Shetani

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Nimezichambua hila zake shetani na kanuni zake

Enyi wapenzi sikilizeni haya kwa makini

Sheria pia taratibu zake zote na maagizo yake

Enyi wapenzi sikilizeni haya kwa makini

Verse 2

Uwongo na kiburi - sheria za Shetani hizo

Uzinzi na ulevi - kanuni za shetani hizo

Wivu na majivuno - sheria za Shetani hizo

Chorus

Hizo! Ndugu yangu jihadhari sana

Hii ni hatari, tupige magoti tusali sana.

Yasije yakatukumba

Verse 4

Ulaji wa rushwa -

Uvivu na uchawi -

Utovu wa nidhamu -

Verse 5

Nguo zenye kubana -

Na zile fupi fupi -

Mavazi ya kihuni -

Verse 6

Kuiba kudhulumu -

Kusengenya wengine -

Udokozi umbeya -

Verse 7

Kudharau wenzako -

Matusi na karaha -

Hirizi na tunguri -