Chorus
Nimewalisha kwa unono wa ngano
Na kuwashibisha asali (asali)
Nimewalisha kwa unono wa ngano
Na kuwashibisha asali itokayo mwambani
Verse 2
Nimewalisha kwa kiini cha ngano
Na kuwashibisha asali itokayo mwambani
Verse 3
Katika shida waliniita, waliniita
Katika shida nami nikawaokoa