SectionsExitNimepiga Vita

Nimepiga Vita

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Nimepiga vita, vilivyo vyema,

Vita vya roho na mwendo nimeumaliza *2

Sasa nangojea kupewa taji ya washindin[Na] sio mimi peke yangu *2

Pamoja na wateule waloshinda vita

Verse 2

Ninakuagiza mbele ya Mungu na mbele ya Kristu

Ukalihubiri Neno uwe tayari siku zote

Ukaripie unene kwa uvumilivu

Verse 3

Nao watajiepusha wasisikie yalo kweli

Mimi nimevumilia hadi ninaoga mikono

Bali wewe uwe na ukamilifu katika mambo yako

Verse 4

Uvumilie mabaya fanya kazi ya kuhubiri

Uihubiri injili uitimize huduma yako

Sasa wakati wa kufa kwangu umefika