Verse 1
Nimepewa mamlaka *2
Mbinguni na duniani
Nimepewa mamlaka yote *2
Verse 2
Basi enendeni mkayafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu *2
Verse 3
Mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu
Na kuwafundisha yote niliyowaamuru
Verse 4
Na tazama mimi niko pamoja nanyi siku zote
Niko pamoja nanyi siku zote mpaka ukamilifu ukamilifu wa dahari