SectionsEntranceNimeona Maji

Nimeona Maji

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Baptism,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Nimeona maji,

Nimeona maji

Yakitoka hekaluni upande wa kuume, aleluya

Na watu wote waliofikiwa, na maji hayo wakaokoka

Nao wakasema, aleluya, aleluya

Verse 2

Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema

Kwa maana fadhili zake ni za milele

Verse 3

Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu

Verse 4

Kama mwanzo na sasa na siku zote amina