SectionsThanksgivingNimempokea Yesu

Nimempokea Yesu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Baptism,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Nimempokea Yesu mzima kwenye Ekaristi

Nguvu zake za mbinguni na baraka amenipa

Sasa moyo wangu mimi unafurahi

Roho yangu mimi inashangilia (kweli)

Chorus

Mimi nimekombolewa mimi nina uzima wa milele

Yesu amenikomboa sasa nimekuwa kiumbe kipyan{ Nimempokea Yesu nikajikabidhi kwake

Aniongoze anifikishe kwake mbinguni } *2

Verse 3

Nimempokea Yesu mzima kwenye maandiko

Bibilia takatifu kweli nimeisoma

Mafundisho yake yote yamenigusa

Nikaamua nijikabidhi kwake (kweli)

Verse 4

Nimempokea Yesu mzima kwenye mahubiri

Mahubiri yake yamejaa hekima na busara

Maneno ya kinywa chake ni taa yangu

Mwanga wa kuniongoza nipitapo (kweli)

Verse 5

Nimempokea Yesu mzima kwenye jumuiya

Majirani marafiki ndugu zangu na jamaa

Nyote mnaonijua nawaambia

Mimi si wenu, mimi ni wake Yesu (kweli)