Nimemkataa Shetani
Je je, umemkataa shetani huyo na mambo yake yote
Nimemkataa shetani na vishawishi vyake vyote
Je je, umemkataa shetani huyo na ila zake tamu
Nimemkataa shetani na mazingaombwe yake
Mtazame huyo mwovu na chengachenga zake,
Huja pole pole,mwenye stara zake,nmalaika wa mwangaza yuaja kunizuzua
Bwana ninakuomba macho nifungue,nnipate kuyajua, mema na mazuri,nya ufalme wako, niyaache ya shetani
Mungu kaniinua, kanitoa kwenye shimo,nalimokua yule mwovu kanitia pingu,nsasa niko huru, ninatabasabu,nnitamuinua nitasema mimi nimemkataa shetani
Sina hofu mimi,sina haya kumsifu,naliyeshinda vita hivyo sasa mimi mzima,nnami nitafuata,njia zake hata,nmwisho wa dahari ama kweli mimi nimemkataa shetani
Chenga chenga zake,n imeasi tena sana,nmajaribun hayo sina budi kuyahepa mimi,nnitaishika kweli Imani sitakubali anishinde mimi nimemkataa shetani.