{ Nimeumaliza mwendo nimeumaliza,
Nimevipiga vita vilivyo vizuri
Nimeumaliza mwendo nimeumaliza,
Imani nimeilinda nimeilinda } * 2
Ninakuamuru mbele ya Mungu mbele ya Yesu
Nenda ukauhubiri ule ujumbenwakati ufaao na wakati usiofaa
Kemea, karipia, onya, himiza
Wafundishe watu wafundishe kwa uvumilivu
Utakuja wakati, ambapo watu,nhawatasikiliza mafundisho ya ukwelinna kisha kufuata tama zao
Watakataa kuisikiliza iliyo kweli,
Watajikusanyia walimu tele
Wanaofundisha lipendezalo sikio lao
Lakini, uwe macho, uvumilien//hitimisho//
Nilipojitetea mara ya kwanza hakuna mtu
Aliyesimama upande wangu, waliniacha
Namuomba Mungu asiwahesabie kosa hilo
Na tena namuomba awasamehe
Lakini Bwana Mungu alisimama pamoja nami
Akanitia nguvu na nikaweza kuutangaza,
Ujumbe usikike kwa watu wa mataifa yote kusudi waokolewenn{ Ooh nimewekewa taji ya uzimanooh oho ambayo Bwana atanivika
Oho oho na wala siyo mimi peke yangunooh ooh ho bali na wote aliowapenda }* 6