SectionsEntranceNimekukimbilia Wewe Bwana

Nimekukimbilia Wewe Bwana

LentEntrance
Chorus

Nimekukimbilia wewe Bwana, nisiaibike milele

Ee Baba mikononi mwako Baba naiweka Roho yangu * 2

Verse 2

Umenikomboa ee Bwana Mungu wa kweli

Ee Baba mikononi mwako naiweka Roho yangu

Verse 3

Kwa sababu ya watesi wangu nimekuwa laumu

Naam hasa kwa jirani zangu

Verse 4

Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu

Walioniona njiani walinikimbia

Verse 5

Nimesahauliwa kama mtu asiyekumbukwa

Nimekuwa kama chombo kilichovunjika

Verse 6

Maana nimesikia masingizio ya wengi

Hofu ziko pande zote