Nimekuja Kwako
Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus
[s:] Nimekuja kwako,n[w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2n[s/b:] Ninakuabudu kwa sala (pia) kwa nyimbo.n[a/t:] Kwa sala nakutukuza kwa nyimbon[w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2
Verse 2
Ninakusifu ee Bwana kwa kuwa wewe ni mwema,
Na huruma yako ni ya milele *2
Verse 3
Ninatubu dhmabi zangu kwa kuwa ni mkosefu
Na msamaha wako ninakuomba *2
Verse 4
Atukuzwe Mungu Baba pia na mwana na roho
Kama mwanzo sasa mpaka milele