SectionsEntranceNimekuja Kwako

Nimekuja Kwako

Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

[s:] Nimekuja kwako,n[w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2n[s/b:] Ninakuabudu kwa sala (pia) kwa nyimbo.n[a/t:] Kwa sala nakutukuza kwa nyimbon[w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2

Verse 2

Ninakusifu ee Bwana kwa kuwa wewe ni mwema,

Na huruma yako ni ya milele *2

Verse 3

Ninatubu dhmabi zangu kwa kuwa ni mkosefu

Na msamaha wako ninakuomba *2

Verse 4

Atukuzwe Mungu Baba pia na mwana na roho

Kama mwanzo sasa mpaka milele