SectionsEntranceNimeingia Mahali Hapa

Nimeingia Mahali Hapa

Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Nimeingia mahali hapa patakatifu,nkuja kumwabudu Bwanan{Amani na iwe ndani ya ngome zako

Na salama ndani ya nyua zako } *2

Verse 2

Makao yako yapendeza sana,

Ee Bwana Mungu wa majeshi

Nakipenda kikao cha nyumba yako

Na mahali pa hema ya utukufu wakon

Verse 3

Nalifurahi waliponiambia

Tutaingia nyumbani kwa Bwana

Sasa miguu yetu imesimama

Katika milango yako ee Yerusalemu

Verse 4

Ee Mungu wangu

Muumba wangu

Kuwe furaha yangu

Nikutumikie kwa moyo mkunjufu mimi mwanao