Nimeingia Mahali Hapa
Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus
Nimeingia mahali hapa patakatifu,nkuja kumwabudu Bwanan{Amani na iwe ndani ya ngome zako
Na salama ndani ya nyua zako } *2
Verse 2
Makao yako yapendeza sana,
Ee Bwana Mungu wa majeshi
Nakipenda kikao cha nyumba yako
Na mahali pa hema ya utukufu wakon
Verse 3
Nalifurahi waliponiambia
Tutaingia nyumbani kwa Bwana
Sasa miguu yetu imesimama
Katika milango yako ee Yerusalemu
Verse 4
Ee Mungu wangu
Muumba wangu
Kuwe furaha yangu
Nikutumikie kwa moyo mkunjufu mimi mwanao