Nikurudishie Nini Bwana
Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
Nikurudishie nini - Mungu nirudishe nini
Mema mengi umenitendea, na mazuri mbalimbalin
Sio afya (afya), sio mali (mali)
Si elimu (kweli) sio nyumba (Bwana)
Ninajiuliza kweli nirudishe nini x2
Verse 2
Kweli umenibariki katika maisha yangu,
Bwana mimi hivi nilivyo mbona nisikushukuru.
Verse 3
Tazama bomani ng'ombe, mbuzi nao kuku pia,
Wa kutaga wa kuuza, kweli nimebarikiwa.
Verse 4
Mvua inarutubisha, mimea inasitawi,
Maua ya kupendeza, aa yapendeza.
Verse 5
Watoto umenijalia, wana pia wajukuu,
Moyoni nina furaha, aa furaha tele.