SectionsOffertoryNikupe Nini Chakukupendeza

Nikupe Nini Chakukupendeza

Offertory
Verse 1

Nikupe nini ee Mungu cha kukupendeza,nuwezo wangu mdogo Bwana waujuanpamoja na dhiki inayonisonga pokeanzawadi yangu hii duni

Verse 2

Nikitazama wenzangu, wanakutoleanzawadi nyingi na nzuri za kukupendeza,nkasoro mimi tu, natoa kidogo. Wakatinmwingine, sitoi kabisa

Verse 3

Maisha yangu ya dhiki Bwana wayajua

Unyonge na udhaifu wangu waujua

Sina kitu mimi, cha kukutolea, lakininpokea nafsi yangu Bwana

Verse 4

Nayakabidhi maisha yangu kwako

Bwana uniongoze katika njia ya uzimanunisaidie wakati wa shida, kwani ninwewe tu tumaini langu

Verse 5

Kutoa ndugu ni moyo siyo utajiri

Ukimtolea Mungu atakuongeza,nuwasaidie watu maskini wasiojiwezanutabarikiwa

Verse 6

Ninawasihi wenzangu mliojaliwa

Maisha bora mazuri naya kuridhisha

Msimsahau, Bwana Mungu wenu,

Toeni kwa wingi mtabarikiwa.