Nikiziangalia Mbingu
Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nikiziangalia mbingu, ni kazi ya vidole vyako
Mwezi na nyota za Mbinguni, ulizoratibisha wewe } *2
Verse 2
Naye mtu ni kitu gani, hata naye umkumbuke
Naye binadamu ni nani, hata naye umuangalie
Verse 3
Umemfanya punde mdogo ni mdogo kuliko Mungu
Umemvika taji yake, taji ya utukufu na heshima
Verse 4
Umemtawaza juu ya kazi, ni kazi ya mikono yako
Umevitia vitu vyote, chini ya miguu yako ee Bwana
Verse 5
Kondoo nao ng'ombe wote pia wanyama wa kondeni
Ndege wote wa angani na samaki wote wote baharini