SectionsEntranceNiacheni Mimi

Niacheni Mimi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Christmas,Wedding,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Niacheni mimi niimbe nimwimbie Muumba wangu

Niacheni mimi nicheze mbele zake Mwenye upendo

Chorus

Watu wote (leo) Nipisheni (mimi)

Nimwonyeshe Bwana Mungu wangu jinsi ninavyompenda

Nitaimba (mimi) nitacheza (sana)

Nitarukaruka kwa furaha nikimsifu Mwenyezi

Kwa nini nisiimbe(mimi), kwa nini nisicheze (mimi)

Nami ninapoimba ninasali mara mbili

Wanyama wanacheza wadudu wanarukaruka

Wanamsifu Mungu wao siku zote kwa furaha

Verse 3

Niacheni mimi niseme mbele zenu watu wa Mungu

Niacheni niyatamke yaliyonijaa moyoni

Verse 4

Niacheni niyaeleze maajabu ya Mungu wetu

Niacheni niyaeleze aliyonitendea Mungu

Verse 5

Niacheni niwaambie jinsi Bwana anipendavyo

Niacheni nisimulie leo kesho hata milele