SectionsExitNi Ufalme

Ni Ufalme

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary TimeExit
Chorus

Ni ufalme wa utukufu wako anapotawalanwatakatifu pamoja na Kristu wakivaa mavazi meupe

Wakimfuata Mwanakondoo popote aendapo

Verse 2

Heri walio maskini wa roho

Kwa maana ufalme wa Mbinguni ni wao

Verse 3

Heri walio wapole

Maana hao watairidhi nchi

Verse 4

Heri wenye njaa na kiu ya haki

Maana watashibishwa

Verse 5

Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki

Maana ufalme wa Mbinguni ni wao

Verse 6

Heri wenye moyo safi

Maana hao watamuona Mungu

Verse 7

Heri wenye huzuni

Maana hao watafairijiwa

Verse 8

Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu

Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele. Amina