Chorus
Ni nani kama Bwana Yesu,
Mfalme wa mbingu na nchi,nanayetualika sote,nkwenye karamu aliyoiandaa,nbali tuwe na moyo saf. x2
Verse 2
Ni nani kati ya watawala wote
Wafalme wa dunia hii,
Aliyewahi kuandaa karamu
Akaalika watu wote.
Verse 3
Sote tunaalikwa kushiriki kwenye
Meza yake Bwana,
Tukiwa tajiri au umaskini bali tuwe
Na moyo saf.
Verse 4
Ishara ya mapendo makubwa
Kwetu kutoka kwake Bwana Yesu,
Kutoa mwili kutoa damu yake
Kuziridhisha roho zetu.
Verse 5
Enyi wafalme watawala wote
Mliojaliwa kwa mali,
Toeni sehemu ya hazina yenu
Saidieni maskini.