Verse 1
Ni nani huyu anayekuja akiruka ruka, mpendwa wangu
Chorus
Sikiliza mpendwa wangu, tazameni anavyokujan(Akirukaruka-mpendwa wangu)
Verse 3
Simameni watu wote mkamtazame- mpendwa wangu.
Verse 4
Mpendwa wangu yeye ni wangu na mimi ni wake-nampenda
Verse 5
Mpendwa wangu alinena akaniambia njoo kwangu, njoo kwangu
Verse 6
Mpendwa wangu nigeukie niutazame uso wako- uso wako