Chorus
{Ni mpango wa Mungu Baba, kuniumba hivi nilivyo
Na jinsi alivyoniumba, ili yeye atukuzwe } * 2
Verse 2
Tazama mimi ni kipofu, nawe mwenzangu unaona
Ni mpango wa Mungu Baba ili kwa hilo atukuzwe
Verse 3
Tazama mimi ni kiwete, nawe mwenzangu watembea
Ni mpango wa Mungu Baba ili kwa hilo atukuzwe
Verse 4
Tazama mimi ni mweusi, nawe mwenzangu ni mweupe -
Tazama mimi ni mfupi, nawe mwenzangu ni mrefu -
Verse 5
Tazama mimi maskini, nawe mwenzangu ni tajiri -
Tazama unao watoto, bali mimi nawatafuta -