Verse 1
Ni furaha duniani, Mwokozi kafufuka aee kafufuka
Ni furaha duniani, Mwokozi kafufuka aee kafufuka
Chorus
Asubuhi na mapema (kafufuka)
Siku ya mwanzo ya juma (kafufuka)
Ameyashinda mauti (kafufuka)
Verse 3
Njooni tumshangilie Bwana amefufuka aee kafufuka
Nyimbo nzuri tumwimbie Bwana amefufuka aee kafufuka
Verse 4
Maria Magdalena kaenda kaburini aee kaburini
Marashi na manemane kaleta kaburini aee kaburini
Verse 5
Malaika kawambia hayuko kafufuka aee kafufuka
Kawambia wanafunzi hayuko kafufuka aee kafufuka