Chorus
{Neno moja nimelitaka nimelitaka kwa Bwana
Ndilo - Nalo ndilo nitakalolitafuta litafuta }*2n{Nikae nyumbani mwako (Bwana)nsiku zote za maisha yangu,
Niutazame uzuri, uzuri, uzuri wako Bwana } *2
Verse 2
Nikae nyumbani mwako siku za maisha yangu,
Nikusifu wewe Bwana daima milele
Verse 3
Siku zangu zote Bwana, nikuabudu wewe,
Na uwe sitara yangu, unifadhili Bwana