Neno Hili
Ordinary TimeBible Procession
Verse 1
[b] Neno hili ni neno la kweli -n[w] (Tena jema tena jema) tena jema *2
Chorus
[t] Neno -n[w] Neno hili ndugu lakuita wewe (wewe)
Neno la uzima (Tena) tena jema
Verse 3
[b] Bwana Yesu sasa yuko mlangoni -n[w] Anabisha anabisha, anabisha *2