SectionsExitNendeni Na Amani

Nendeni Na Amani

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

{ Nendeni na amani, nendeni na amani

Nendeni na amani, nendeni na amani } *2

Mkayatangaze mliyosikia katika masomo na Injili *2

Verse 2

Tumsifu Bwana Mungu, kwani yeye ni mwema

Tumwombe siku zote

Verse 3

Mwimbieni kwa shangwe, mwimbieni zaburi

Kwa ngoma na vinanda

Verse 4

Tagaza sifa zake, tangaza nguvu zake

Tangazeni amani

Verse 5

Tangazeni ukuu wa jina lake Bwana

Msifuni milele