SectionsExitNeema Ya Kijana

Neema Ya Kijana

Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Aliwaumba Mungu akawapa neema

Iwasaidie mnazichezea mtazikumbuka ninyi ao wanadamu

Chorus

Acha kuyaharibu mazingira

Chanzo cha mito kuganda uoto

Ni zawadi tumejaliwa na Mungu

Nasi tuitunze ilivyo neema ya kijani

Verse 3

Kukata miti ovyo ni kuharibu kazi ya uumbaji wa Mungu

Verse 4

Kuunguza misitu bila sababu kunapunguza neema ya kijani

Verse 5

Kutupa taka bila utaratibu, kunaushusha thamani utu wetu

Verse 6

Kulima shamba kwenye vyanzo vya maji ni kuharibu urithi wa watoto