Chorus
Neema mliyoipata muitunze, neema hiyo ya karamu yake Bwana
Neema ya upendo neema ya amani,nneema ya furaha neema ya faraja, Neema muitunze,nneema na baraka zake Bwana Yesu Kristu
Verse 2
Neema mliyoipata ni neema yake Mungu,
Amewalisha chakula kutoka Mbinguni
Verse 3
Neema mliyoipata ni neema yake Mungu,
Amewanyesha kinywaji kutoka Mbinguni
Verse 4
Neema mliyoipata ni neema yake Mungu,
Amewashibisha kwa mwili na damu yake