SectionsExitNdugu Kaza Mwendo

Ndugu Kaza Mwendo

Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Ndugu yangu kaza mwendo Safari bado ni ndefun{Ina mabonde mengi pia na milima (mingi)

Ina wanyama wengi tena wa kutisha (sana)

Usilege'legee kaza mwendo tutafika.}*2

Verse 2

Usali na kuomba ufike salama

Kwa maana safari yetu ina vikwazo vingi

Kuna mbwa mwitu wanaonyemelea roho za watu *2

Verse 3

Tunza imani yako usiyumbeyumbe

Tena usikate tamaa kumuabudu Muumba wako

Parapanda itakapolia ikukute u tayari *2

Verse 4

Ole wanafiki na wagombanishi

Kwa sababu hukumu yaja kwa wasiopenda amani

Watakuja lia na kusaka meno siku ya hukumu *2