Ndiwe Kuhani

Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus

Ndiwe kuhani hata milele,nkwa mfano wa Melkizedeki x2

Verse 2

Neno la Bwana kwa bwana wangu

Kuketi mkono wake wa kuume

Hata ni wafanye adui zangu

Kuwa chini ya miguu, miguu yangu.

Verse 3

Bwana atanyoosha toka Sayuni,

Ile fmbo kuu ya nguvu zake,

Uwe na enzi juu ya adui, na waje,

Mbele yako wakitete-meka.

Verse 4

Kwa uzuri wa utakatifu,

Tokea tumbo la asubuhi,

Ukaoo umande wa ujana,

Ndiwe kuhani, kuhani hata milele.