SectionsEntranceNayaweza Yote

Nayaweza Yote

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Christmas,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Lent,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Nalifurahi sana katika Bwana,

Kwa kuwa mmehuisha fikira zenu

Najua kudhiliwa na kufanikiwa

Kwa hali yoyote na kwa mambo yoyote

Nimefunzwa kushiba na kuona njaa,

Kuwa na vingi na hata kupungukiwa.n(Najua) najua kushiba, (najua) na kuona njaan(Najua) kuwa navyo vingi, (najua) na kupungukiwan(Ni)najua (ni) najua min

Nayaweza - Nayaweza mambo yote

Nayamudu - Nayaweza mambo yote

Ni katika yeye - Nayaweza mambo yote

Anipaye nguvu - Nayaweza mambo yote

Nayaweza - Nayaweza mambo yote

Verse 2

Najua wazi mimi kiumbe dhaifu,

Ni kwake Bwana maisha yangu nayaweka

Sina nguvu nje ya mwokozi,

Ni kwake Bwana maisha yangu nayaweka

Verse 3

Ninaendelea mbele na utumishi -

Kwani Bwana anitia nguvu -

Verse 4

Nimevipiga vita vilivyo vizuri -

Na (mwendo) nimemaliza -

Verse 5

Neema ya Bwana wetu Yesu Kristu,

Upendo upendo wa Mungu Baba

Na ushirika wa Roho Mtakatifu (viwe nanyi)

Viwe nanyi viwe (sasa) sasa (viwe nanyi)

Sasa hata milele *2