Chorus
Nawapa amri, amri pendaneni (Asema
Bwana), kama vile mimi nilivyowapendannyinyi, (Nanyi), nanyi, pia pendaneni.
Verse 2
Wapenzi na tupendane;npendo latoka kwa Mungu.
Na pia apendayenamezaliwa na Mungu (Mungu),nnaye anamjua Mungu, mpendanen
Yule asiye na pendonhakumjua Mungu wetu,nkwa maana Mungu ninmwenye upendo kamili (naye),nnaye ametuamuru; tupendanen
Mungu apenda duniankwa mapendo yake kwetu,nakamtuma mwana wake pekee (pekee),nhapa kwetu duniani tupendanen
Kila amukirie Yesunkuwa ni mwana wa Mungu,nndipo Mungu anakaanndani yake mtu Yule (naye),nnaye ndani yake Mungu tupendane