SectionsExitNavumilia Tu

Navumilia Tu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Christmas,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Wedding,Wedding,LentExit
Verse 1

[s/a] Ninatazama juu angani nikiomba msaada

Mateso yananizidi, hakuna anayekuja

Nafungua mikono yangu naleta sala yangu

Ee Bwana nisaidie, Mungu unihurumie

Navumilia tu mimi ninavumilia tun(Bwana nateseka)

Chorus

/s/

Navumilia tu, mimi ninavumilia tu,

Navumilia tu, kwani haya yote yana mwisho

Navumilia tu, mimi ninavumilia tu,

Navumilia tu, kwani ipo siku yatakwishann/a2/

Navumilia tu, ninavumilia tu mimi

Navumilia tu, kwani haya yote yana mwisho

Navumilia tu, ninavumilia tu mimi

Navumilia tu, kwani ipo siku yatakwishann/ t2 / a1 /

Bwana nateseka, unihurumie kwa uwezo wako

Naamini Bwana

Nipo kwenye shida, Bwana niokoe sikati tamaa,

Naamini Bwana, ipo siku yatakwishann/t/

Navumilia tu mimi, ninavumilia tu

Navumilia tu, kwani haya yote yana mwisho

Navumilia tu mimi, ninavumilia tu

Navumilia tu, kwani ipo siku yatakwishann/b/

Navumilia tu mimi, navumilia tu mimi

Navumilia tu, haya yote yana mwisho

Navumilia tu mimi, navumilia tu mimi

Verse 3

Nalia kwa uchungu, machozi yananitiririka,

Mateso ya dunia hii, naona yamekidhiri,

Huyu mwovu shetani hakika ananisonga sana

Ninakuomba ee Bwana unisaidie hima

Navumilia tu mimi ninavumilia tun(Bwana nateseka)

Verse 4

Vitisho vya dunia, magonjwa dharau masengenyo

Na kunyanyasa wadogo, haya yote yatapita

Nangojea kwa hamu, Bwana utakapokuja tena

Nije niungane nawe, kwenye raha ya milele

Navumilia tu mimi ninavumilia tun(Bwana nateseka)

Verse 5

Ewe mama Maria, naomba uniombee mama

Kwa Yesu mwanao mpenzi, ili aje aniokoe

Roho mtakatifu Mungu anipe ujasiri,

Hekima na pia nguvu, elimu pia uchaji

Navumilia tu mimi ninavumilia tun(Bwana nateseka)